Waandaaji wa tamasha wanapenda kushukuru imani, busara, maono na msaada mkubwa wa wafadhili na wadhamini, ambao kama si wao Sauti za Busara lisingewezeka. Katika kipindi hiki cha maandalizi, bajeti na mipango inatupa wakati mgumu sana. Tumepatiwa ahadi kadha wa kadha na bado tunahitaji misaada zaidi. Hadi hivi sasa, tamasha limewezeshwa na: |
Goethe-Institut, US Embassy, UNDP, Gallery Tours, ZanAir, Memories of Zanzibar, Zanlink, Dhow Countries Music Academy , WOMEX, Embassy of Denmark, Stone Town Café, Mercury’s Restaurant, Archipelago Café & Restaurant, Tabasam Tours, Monsoon Restaurant, Linear Velocity, Footcandles, www.zanzibar.net
Thanks also to:
Ministry for Information, Culture & Sports,
and to all the people of Zanzibar:
"Shukurani kwa
kukubali kuwa tamasha hili ni letu sote na mchango wenu ndio
ambao umelifanikisha." |